Christian Bella Awachambua Diamond na Alikiba

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Friday, January 6, 2017

Christian Bella Awachambua Diamond na Alikiba

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++
Msanii wa Band maarufu kama mkali wa masauti Bongo Christian Bella amezungumzia timu ambazo ziko mitandaoni kati ya Alikba na Diamond kusema kuwa Alikiba ana uzuri wake na Diamond ana uzuri wake kwa kuwa kila mtu anafanya vizuri kwa upande wake.
“Diamond ana uzuri wake na Alikiba ana uzuri wake wote na mimi siko kwenye label ya Alikiba yeye ni mshikaji tu ila siwez sema Diamond ananizid eti tukikaa hapa kufanya voko hapana ila kwa upande wa Diamond hakuna aliyeamini kama angefanya hayo yote ni msanii ambaye anajituma sana ila kila mtu anafanya vizuri kwa upande wake” Amesema Bella
Bella amewafananisha wawili hao kama chumvi na sukari  “Ni kama sukari livyokuwa muhimu katika chai na chumvi ilivyokuwa na umuhimu katika mboga na hawa wasanii wawili wote wana fan base kubwa sana na mashabiki wa team Diamond na team Kiba wote wanaupenda muziki wangu”
Christian Bella kwa sasa amefanikiwa kufungua studio yake mwenyewe inayokwenda kwa jina la KINGDOM na ni mmoja kati ya wasanii wenye mafanikio sana katika muziki wa band nchini.
eatv.tv
http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top