Ehee!! Umemsikia Lowassa Alichosema?Amesema Eti 2020 Atashinda Uchaguzi Kiulaini ,Unadhani Hilo Litawezekana Kweli?

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Sunday, January 22, 2017

Ehee!! Umemsikia Lowassa Alichosema?Amesema Eti 2020 Atashinda Uchaguzi Kiulaini ,Unadhani Hilo Litawezekana Kweli?

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amesema njia ni  nyeupe kwa Chadema kuingia Ikulu katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020.

“Kuweni watulivu  na mwaka 2020 mjitokeze kupiga kura na kama nitakuwa  hai nitakuwa mgombea tena wa urais kupitia muungano wa vyama vya upinzani,” alisema.

Akizungumza nyumbani kwa kada wa Chadema, James Lembeli katika kijiji cha  Mseki, Kahama, Lowassa (pichani) alisema ameshindwa kuzungumza na kufanya mkutano na  wananchi wa kijiji hicho akihofia kukamatwa na polisi kama alivyokamatwa Geita na kuwataka wawe wavumilivu hadi uchaguzi wa mwaka 2020.

Kadhalika, Lowassa aliwataka vijana wasikubali kuibiwa kura kwa madai uchaguzi uliopita hawakutendewa haki na ndio maana walikosa ushindi.

http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top