Kadinda Akanusha Kugombana na Wema

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Friday, January 6, 2017

Kadinda Akanusha Kugombana na Wema

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++
MBUNIFU wa mavazi nchini, Martin Kadinda, amesema hana ugomvi wowote na nyota wa filamu, Wema Sepetu, kama watu wanavyodai.

Wema Sepetu na Martin Kadinda
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kadinda alisema watu wamezoea kukaa na kutengeneza mambo ambayo hayapo, yeye ni meneja wa Wema na ataendelea kufanya naye kazi kama kawaida.
“Watu wamezoea kuzusha kila kukicha, kwa upande wangu sijawahi kugombana na Wema, ila kuna watu wana uwezo mkubwa wa kutengeneza habari ambazo hazina ukweli wowote hasa katika mitandao ya kijamii,” alisema Kadinda.
Mbunifu huyo aliongeza kuwa kwa sasa yuko bize na kazi zake za kubuni mavazi kama vile ya harusi ambayo yanamfanya azidi kuwa maarufu.
Mtanzania
http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top