Shamsa Ford Atoa Ushauri Huu kwa Vijana

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Tuesday, January 31, 2017

Shamsa Ford Atoa Ushauri Huu kwa Vijana

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++
Muigizaji wa filamu nchini Shamsa Ford ametoa ushauri kwa Watanzania hususani vijana ambao hupata kidogo na kushindwa kujipanga na maisha ya kile kidogo wakipatacho na kusema siku zote unapaswa kuthamini kile ulichonacho leo ili kuwa na kesho nzuri.
Shamsa Ford ametumia ukurasa wake wa Instagram kutoa ujumbe huo kwa vijana na kuwaasa kutodharau kabisaa kidogo wakipatacho kwani hicho ndicho kinaweza kufanya watu wapige hatua.
“Binadamu wa kawaida hupenda kuweka umakini mkubwa kwa kile asichonacho badala ya kile alichonacho. Analaumu kwa sababu ya asichonacho badala ya kushukuru kwa sababu ya alichonacho. Wengi hufikiri sana kuhusu kesho na kuacha kutumia leo waliyonayo. Wanapoteza muda wa sasa wakitarajia kuwa kesho ipo. Ukiona unadharau ‘kidogo’ ulichonacho kwa sababu ya kile ‘kikubwa’ unachotarajia, jua upo katika mchezo wa kufukuza upepo. Leo ni mbegu ya kesho unayoitarajia. Ulichonacho ndicho kimebeba mimba ya unachokitarajia. Usipokuwa mwaminifu kwa ulichonacho, sahau kuhusu unachotarajia” aliandika Shamsa Ford.

http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top