Umeyasikia Maneno MAKARI ya Trump Mara Baada tu ya Kuapishwa Kuwa Rais? BOFYA HAPA

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Friday, January 20, 2017

Umeyasikia Maneno MAKARI ya Trump Mara Baada tu ya Kuapishwa Kuwa Rais? BOFYA HAPA

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++
trump24MAREKANI: Rais Donald Trump wa Marekani ameahidi kuwaunganisha Wamarekani alipokuwa anawahutubia muda mfupi mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa nchi hiyo.

Trump ameyasema haya.

“Tutaunganisha nchi yetu,”

“Tutaifanya Amerika kuwa taifa kuu tena kwa ajili ya watu wetu wote. Kila mtu, kila mtu, kote nchini. Na hii inajumuisha hata walio mitaa duni.”

“Walisahau kuhusu wengi wetu,”

“Kwenye kampeni, niliwaita mwanamume aliyesahaulika na mwanamke aliyesahaulika. Naam, sasa nyinyi si watu waliosahaulika tena.”
“Mambo yatabadilika, nawaahidi. Mambo yatabadilika.” Alisema Trump

Trump ameahidi kuilinda miapaka yote ya Marekani huku akieleza kuwa nchi hiyo imekuwa ikifanya juhudi kubwa kulinda mipaka ya nchi nyingine na kusahau mipaka yake hivyo kuingiliwa na wabaya wao na kusababisha maafa makubwa kwa Wamarekani huku akiahidi kufanya mambo ambayo hayajawahi kufanywa nchini Marekani mwa miongo mingi.
http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top