Niva Amepata Shavu la Kufanya Kazi na Msanii Mkubwa wa Marekani (Video)

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Friday, February 17, 2017

Niva Amepata Shavu la Kufanya Kazi na Msanii Mkubwa wa Marekani (Video)

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++
Msanii wa filamu Niva Super Mariyoo, amefunguka kwa kudai kuwa amepata mwaliko na msanii mkubwa wa Marekani kwajili ya kushiriki kwenye filamu yake.
Akiongea na Bongo5 wiki hii, Niva amedai ofa hiyo imemfanya arudi darasani kwajili ya kujifunza kuongea kingereza.
“Mtegemee kumwona Niva kimataifa zaidi ndani ya mwaka huu kupitia kampuni mpya ya Barazani, tayari kuna wasanii wa Marekani ambao wamehitaji kufanya filamu na mimi tena sio wasanii wadogo,kwahiyo mashabiki wakae mkao wa kula kuna makubwa yanakuja,” alisema Niva.
Aliongeza, “Lakini ninachokifanya kwa sasa narudi darasani kusoma kingereza cha kuongea, kwa sababu naamini ili ufanye kazi nzuri na wale watu lazima uwaelewe vizuri wanachokizungumza,”
http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top