Breaking News: Wachimbaji Sita Wafukiwa na Kifusi Mara...!!!

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Monday, February 13, 2017

Breaking News: Wachimbaji Sita Wafukiwa na Kifusi Mara...!!!

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++

Breaking News: Wachimbaji Sita Wafukiwa na Kifusi Mara...!!!



HABARI zilizotufikia hivi punde zimeelza kuwa wachimbaji sita wa madini wanadaiwa kufukiwa na kifusi walipokuwa wakichimba madini kwenye mgodi wa Buhemba ulioko mkoani Mara.

Imeelezwa pia kuwa watu 11 wamejeruhiwa kwenye ajali hiyo ambapo wamekimbizwa katika Hospitali ya Butiama kwa ajili ya matibabu.

Global Publishers imefanya jitihada za kumtafuta Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara, Ramadhani Ng’anzi ambaye amekiri kutokea kwa ajali hiyo.

“Ni kweli ajali hiyo imetokea leo, na hivi sasa nipo eneo la tukio. Kuhusu takwimu sahihi za watu waliofukiwa kwa sasa sina, mpaka uchunguzi wa jeshi la polisi utakapofanyika ndipo nitatoa ripoti kamili.” Alisema Kamanda Ng’anzi.

Tukio hilo ni la pili ndani ya kipindi kifupi ambapo siku za hivi karibuni, wachimbaji 15 walifukiwa na kifusi na kuokolewa baada ya siku kadhaa katika Mgodi wa RZ, Nyarugusu uliopo Nyarugusu mkoani Geita.
http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top