Makonda Aagiza Chid Mapenzi, Mume wa Shamsa Ford Akamatwe Haraka..!!!

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Monday, February 13, 2017

Makonda Aagiza Chid Mapenzi, Mume wa Shamsa Ford Akamatwe Haraka..!!!

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++

Makonda Aagiza Chid Mapenzi, Mume wa Shamsa Ford Akamatwe Haraka..!!!


Mume wa msanii wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford waliyefunga ndoa hivi karibuni, Chid Mapenzi ametajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwamba ni miongoni mwa watu wanaotuhumiwa kujihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya na kuagiza akakamatwe na polisi haraka iwezekanavyo.

Makonda ameyasema hayo kwenye mkutano na waandishi wa habari, uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar ambapo ametangaza kwamba anayo orodha nyingine ya watu 97 wanaotuhumiwa kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya.

Pia mtu mwingine aliyetajwa ni Ayubu Mfaume ambapo naye anatakiwa kukamatwa haraka iwezekanavyo.
http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top