Hamorapa Jeuri Hii Umeitoa Wapi...!!!!?

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zao live

Saturday, February 4, 2017

Hamorapa Jeuri Hii Umeitoa Wapi...!!!!?

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++

Hamorapa Jeuri Hii Umeitoa Wapi...!!!!?


DAR ES SALAAM: Akiwa bado anaendelea kutrendi kwa kuitwa ‘Nyani’ katika mitandao ya kijamii, msanii wa kizazi kipya anayefananishwa na msanii kutoka kundi la WCB Rajab Abdulhan ‘Harmonize’, Athuman Omary maarufu kama Hamorapa leo katika mitandao ya kijamii mashabiki wameibuka na kusema kuwa Hamorapa ametumwa.

Kwa habari ambazo bado hazijathibitika zinadai kuwa Hamorapa anatumiwa na wafanyabiashara wakubwa jiji Dar es salaam, inaonekana wazi kuwa hana uwezo wa kujieleza na anafundishwa jinsi ya kujibu maswali katika mahojiano mbalimbali. Pia hivi karibuni ameonekana katika mitandoa ya kijamii kuweka picha na video zinazomonyesha akiwa napesa nyingi na kazi anayofanya haijulikani.

Akihojiwa na Global Tv mwezi jana, Hamorapa alionekana wazi kuwa ni mtu asiyeweza kujieleza.
http://go.ad2up.com/afu.php?id=1071964
http://trendingvideos4.blogspot.com
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top